WCB WANA NGOMA YA KUNDI

Wakali Wa kundi liundalo WCB yaani rayvany, rich mavock, harmonize, queen darline na SIMBA Boss wao Diamond Plutnumz. Wana taraji kuachia ngoma yao mpya hivi karbuni ambayo wanafanya video. Suala hill limejionesha baada ya post Instagram za wasanii hao kudai mambo yakiwa sawa. Vuguvugu la hapa na pale likiisha mashabiki waruhusu ngoma iachiwe.

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT