JUX AKANUSHA SUALA LA KUITWA SINGLE BOY

Baada ya story za kitaani kusikika kuwa jux na v money. "Cash madame" wametemàna kimya kimya. Juzi kati katika kipindi cha Friday night live. Eatv. Jux amemtolea nje Sam misago kwa kumwambia "kwanza naomba nikusahihishe suala la Mimi kuniita single boy. Mimi sio single boy. Kama v money nipo nae its  my business".

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT