MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.







Msanii ambaye ndiye boss wa kundi lenye label ya WCB Diamond Plutnumz Leo amemtambulisha msanii mpya aitwaye Lava lava. Utambulisho huo umeambatana na ngoma mpya (wimbo) alioutoa msanii Huyo uitwao TUACHANE. pichani ni wa kwanza toka kushoto. Aliyemshika bega Rayvany.  

Comments

Popular posts from this blog

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT