NDOA YA JANET JACKSON YAVUNJIKA
Super star wa Hollywood mtoto Wa hayati wa pop duniani michael Jackson. Janet Jackson. Ndoa yake na billionea imevunjika. Ukiachilia mbali kuwa walikua wamepata mtoto wao wa kwanza. Chanzo inasemekana billione huyo alikuwa anambana Janet kutofanya mziki. Jambo ambalo ameona litamshushia idadi ya mashabiki hivyo kudhorotesha umarufu, kipaji na hata kipato kiujumla. Jambo pekee alilofanya ni kuvunja ndoa.
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete