NDOA YA JANET JACKSON YAVUNJIKA

Super star wa Hollywood mtoto Wa hayati wa pop duniani michael Jackson. Janet Jackson. Ndoa yake na billionea imevunjika. Ukiachilia mbali kuwa walikua wamepata mtoto wao wa kwanza. Chanzo inasemekana billione huyo alikuwa anambana Janet  kutofanya mziki. Jambo ambalo ameona litamshushia idadi ya mashabiki hivyo kudhorotesha umarufu, kipaji na hata kipato kiujumla. Jambo pekee alilofanya ni kuvunja ndoa.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT