HUYU NDIYE MPENZI WAKE MPYA WA X WAKE CHRIS BROWN.

Aliyekuwa mpenzi wake Chris brown Karrueche Tran. Apata mpenzi mwingine ambaye ni mchizi wake brown toka kundi la Migos ajulikanaye kama Quavo. Inasemekana quavo amekuwa karibu na mrembo huyo hata kabla hawajaachana na brown. Lakini baada ya kuachana ndiyo wamekuwa wapenzi. Wameonekana kwenye show ya migps moja wakiwa wote. Karrueche yeye bado anaendelea na uigizaji Wa filamu take ya Clews.

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT