JAY Z ATUKANWA MATUS KWA KUWA MBINAFISI KIBIASHARA
Staa Jay z amatukanwa sana baada ya kufanya kitendo cha kutoa nyimbo zake toka mitandao ya Spotify na Apple. Badala yake iwe inasikilizwa katika mtandao wake Wa Tidal. Waandishi Wa habari baada ya kusikia kitendo hicho alichokifanya jay z wakamtusi na kumuita Messy B*tch kwa kuwa mbinafisi kibiashara.
Comments
Post a Comment