JAY Z ATUKANWA MATUS KWA KUWA MBINAFISI KIBIASHARA

Staa Jay z amatukanwa sana baada ya kufanya kitendo cha kutoa nyimbo zake toka mitandao ya Spotify na Apple. Badala yake iwe inasikilizwa katika mtandao wake Wa Tidal. Waandishi Wa habari baada ya kusikia kitendo hicho alichokifanya jay z wakamtusi na kumuita Messy B*tch kwa kuwa mbinafisi kibiashara.

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT