ROMA ADAI DOLA 500 KUIGIZA TUKIO LA KUTEKWA
Msanii Wa Tanzania rapa Roma mkatoliki ambaye juzi kati alikuwa ametekwa na kupelekwa kusikojulikana na watu wasiojuliakana. Ameeleza kwenye vyombo vya habari kuwa yupo tayari kuigiza tukio zima la kutekwa ili iwe kama njia halisi ya watu kutambua tukio zima. Na pia iwe funzo kwa wengine. Mahususi. Amedai kulipwa dola 500 kwa kampuni yoyote, mtu binafisi au serikali ili aweze kuigiza tukio hilo.
Comments
Post a Comment