LIL WAYNE AFUNGUKA KUHUSU KUJIUNGA ROC NATION YA JAY Z. BYE BYE CASH MONEY.

Kutokana na mambo kuwa mabaya kati ya super star lil Wayne na boss wake Birdman Wa Cash money group. Lil Wayne juzi juzi kipindi akii perform show kwenye shule moja USA. Amesikika akisema kwa mashabiki. "Mnaonaje nikitangaza kuwa nipo na ROC NATION ya jay z?". Sababu nyingne ya kuhama cash money in deni lake LA $51 la kipindi alipotoa album yake ya Carter V.

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT