BONGE LA NYAU AFUNGUKA KUHUSU YEYE NA SHILOLE.
Msanii wa bongo fleva bonge la nyau a.k.a Big pusi. Amekanusha madai ya watu kuhusu yeye na shilole "shishi baby" kuwa ni wapenzi. Tetesi hizo zilizuka mitaani baada ya kuona wawili hao wanakuwa wote kwa mda mwingi. La nyau adai ni kuhusu kazi "project" je hii ni sawa??????????? Jiulize.
La nyau vile vile adai kwa sasa yeye ana mpenzi wake na wamebarikiwa mtoto mmoja.
Comments
Post a Comment