Posts
Showing posts from May, 2017
PICHA YA BEN PAUL ILIYOZUA KIZAA ZAA MTANDAONI...
- Get link
- Other Apps
Msanii wa bongo fleva Bernard Paul a.k.a Ben Paul alitupia picha yake (tazama hapo chini) Akiwa uchi machoni mwaka watu. Picha ambayo watu wameitafsiri kwa namna tofauti. Mara anatafta kiki, Mara kakamatwa na mengine mengi. Ila mhusika hakusema kitu. Bali alirudia kuweka picha hiyo ikiambatana na muziki na ujumbe kuwa. Usihukumu kwa ukionacho bila kufungua au kujua undani wake. Yaonekana hiyo itakuwa cover ya wimbo mpya.
HII NDIYO ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA BILLBOARD 2017... DRAKE AONGOZA.
- Get link
- Other Apps
ALICHOKIANDIKA RAY C KUHUSU DIAMOND HIKI HAPA....
- Get link
- Other Apps
Wema sepetu ahudhuria msiba wa shabiki yake...
- Get link
- Other Apps
Star wa bongo movie. Miss Tanzania 2006 amehudhuria msiba wa mmoja wa mashabiki wake @mwajuma_pesa (Instagram) baada ya kupata taarifa kuwa alikuwa shabiki wa team yake dam dam . ni baada ya kukuta amepost picha na video zake katika akaunti yake. Na kutoa rambi rambi kwa wafiwa. Ni swala la kuigwa kwa wasaniiI wengine.
Star wa filam ya kuch kuch hota hai afariki dunia
- Get link
- Other Apps
DOGO JANJA ASEMA DAVIDO HAJUI KUVAA. ATAJA WASANII BONGO WANAOMFATA...
- Get link
- Other Apps
Msanii dogo janja toka kundi la Tip Top connection ameongelea uvaaji wa msanii toka Nigeria Davido kuwa ni wa kishamba japokuwa anapesa. Hanunua nguo za Ku hit, zinazomfit fresh mwilini. Aidha amesema kuwa. wasaniiI wengi Wa bongo pia hawawezi kushindana nae katika mavazi kwani wao husubili kutungua nguo kariakoo wakati yeye anaagiza zake toka mbele (nje) Vile vile ametaja list kidogo ya wasanii wanaojitahidi kumfata japo so sana kuwa ni kama, Jux (juma) G nako Na kidogo sana Job makin.
BEYONCE AONGOZA ORODHA YA KUWANIA TUZO ZA BET2017
- Get link
- Other Apps
RAYVANY ATOA SIRI YA MAFANIKIO YAKE
- Get link
- Other Apps
Msanii Wa bongo fleva nchini Tanzania toka kundi la WCB Raymondy au rayvany ameelezea na kutaja mambo muhimu yaliyomfanya MPAKA amefika hapo alipo na MAFANIKIO aliyoyapata kuwa ni 1. Mungu 2. Nidhamu 3.juhudi Bila kusahau sapot toka kwa mashabiki Vitu hivyo ndivyo vimempelekea mpaka sasa ameteuliwa kuwania tuzo ya International viewers choice kutoka tuzo za BET2017
MAPACHA WALIOUNGANA WAMEHITIMU KIDATO. CHA SITA WAOMBA HIKI
- Get link
- Other Apps
Mapacha hao waliozaliwa wakiwa wameungana kama uwaonavyo katika picha. Mkoani iringa. Wamehitimu kidato cha SITA. Na wametoa ombi kwa watu wote nchini kama kuna uwezekano wakawasaidia kifedha ili waanzishe ujasiliamali kwa ajili ya kujikimu. Wamelitamka hill baada ya mkuu wa mkoa mkoani humo kuwatembelea ili kujua maendeleo yao na kuwapongeza.
HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU
- Get link
- Other Apps
Juzi juzi ilikuwa Siku ya kuzaliwa ya muigizaji na aliyekuwa miss Tanzania 2006 wema mtoto Wa Mzee sepetu. Tangu alipoanza kufurahi Siku yake ya kuzaliwa ukumbini ghafla furaha ilipote baada ya mwanalimbwende muuza nyago katika video za wasanii mbalimbali nchini gigy money "gigy kiuno" kuonekana anacheza na baadhi ya zilipendwa wa wema tena kihasalahasala yaani kwa mitego mitego.
TIMU KIBA wawanyampisha timu mond kwa picha hii...
- Get link
- Other Apps
Msanii ally kiba amepost picha akiwa na msanii wa kundi la p square (peter) kufuatia picha hiyo timu ya mashabiki wake wamepata la kuongea juu ya wapinzani wao timu mond. Mara oooh mind si lolote, nao mujibu, mnakopita sisi tushapita kabla. Tunatarajia nini mbeleni... Twende sambamba katika blog hii..
HARMO RAPA: DOGO JANJA NI MREMBO TU...
- Get link
- Other Apps
Kufuatia kiki juu ya kiki ya msanii dogo janja juu ya kudai hakuna anaemshinda kuvaa kwa wasanii wote. Msanii Harmo rapa amejibu shambulizi hill kipindi akitambulisha ngoma yake ya Nundu ndani ya Friday night show ya eatv. Amesema kuwa. "Dogo janja aache tabia yake ya kujisifu kuvaa kushinda wote kwani kuna wanyamwezi kama sisi ila hatusemi tunavaa hatari. Janjaro ni mrembo tu japo snatokea chugga".
TIDAL: Ally kiba ndio msanii bora Tanzania
- Get link
- Other Apps
Kufuatia tamasha linalofanyika nchini uingeleza lijumuishalo wasanii mbali mbali toka Afrika. #OneAfricafestLondon. Msanii Wa Tanzania ametajwa na mtandao umilikiwao na nguri Wa hip hop Jay z Wa Tidal kuwa ndiye msanii bora Tanzania. Kupitia mtandao huo wamepost picha ya king kiba na kuandika kuwa. Ally kiba is the best singet in Africa.... Kwa taarifa zaidi za mastaa tembelea blog hii kila siku
Luis Suarez ataja wachezaji anaowakubari zaidi duniani
- Get link
- Other Apps
Mchezaji mashuhuri wa club ya Barcelona ya nchini Hispania na mzawa wa nchini Uruguay Luis Suarez jezi namba 9 mgongoni. Amefungua ukweli alionao juu ya wachezaji anaowakubari zaidi duniani kote. Amewataja Neymar Jr na Messi kuwa bila wao kuwepo katika game LA mpila hajisikii vizuri. Na nzuri zaidi ni kukutana katika timu moja. Hiyo inamuongezea nguvu ya kuzidi kuwakubari zaidi.
Hizi ndizo picha mpya za beyonce akiwa na ujauzito wake
- Get link
- Other Apps
Hii ndiyo top 5 ya wasanii wa hip hop matajiri duniani.
- Get link
- Other Apps
hii ndiyo picha bora ya mwaka huu ya msanii diamond
- Get link
- Other Apps
Dogo janja: Hakuna msanii anavaa vizuri kunishinda mimi
- Get link
- Other Apps
Alichosema muigizaji Gabo kuhusu yeye na wema sepetu.
- Get link
- Other Apps