T.I ATANGAZA KUWA SINGLE BOY

Msanii Clifford Harris a.k.a T.I amesema juzi katika moja ya televisheni nchini marekani kuwa. Sasa hivi yeye ni single boy. Ndoa yake na kattena tiny'cottle imevunjika. Hiyo ilifatia baada ya mwaka Jana mwezi Wa 12 baada ya mke wake kudai taraka. Ambapo ilitekelezwa wiki hii. T.I amesema maisha ya ndoa. Kuwa Mme Wa mtu tena yatamfanya asifanikiwe mambo yake hasa ya music. Hivyo yupo tayari kuwa single boy mpaka baadaye sana. Kuhusu yeye na mke wake watashirikiana kulea watoto wao basis sio mapenzi tena.

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT