MATUKIO MUHIMU KWA LIL WAYNE
Young money member toka cash money record Lil Wayne amesema kuwa. Tangu aanze muziki amewahi kutana na matukio muhimu makuu mawili tu. Nay ni
1: alipopokea tuzo yenye hadhi ya Grammy
2: alipopokea message toka kwa legend wa Hip Hop (Jay z).
Kumbuka kwa sasa Lil Wayne anafanya kazi na label ya mkubwa Jay z.
Comments
Post a Comment