Posts

Showing posts from June, 2017

LIL WAYNE ASHITAKIWA KWA UBAGUZI WA RANGI.

Image
Msanii lil Wayne (weezy) alifanya tukio la kumpiga ngumi na kumtusi f*k u white boy. Mlinzi Wa club ya Hyde baada ya party waliyokuwa wameenda kuipiga kuisha akiwa na kundi lake. Shitaka la lil Wayne ni kuhusu kumdhalilisha na kumbagua Mzungu huyo kisa rangi yake ya uweupe. 

JIBU LA GIGY MONEY KWA MASHABIKI (DISI) JUU YA KUKONDA NA KUPOTEZA UMBO LAKE ....

Image

DJ KHALID ATANGAZA UJIO WA PINI NA DRAKE.

Image
Msanii wa hip hop dj Khalid ameandika na kutangaza kwa ujio wa collabo kati yake na Drake. Pini hilo limepewa jina la TO THE MAX na cover itakuwa ina mtoto wake DJ. Aidha song hilo limo ndani ya album yake ya GRATEFUL ambamo WASANII kama Beyonce, jay z, lil Wayne, rihana, Justin bearber na wengine kibao wamo. 

MAPOVU YA GIGY MONEY KUTOKA KWA MASHABIKI KUHUSU KUKONDA KWAKE....

Image

HIKI NDICHO ALICHOSEMA WEMA SEPETU KUHUSU MAHUSIANO YAKE NA MH.MBOWE....

Image

ALICHOKIANDIKA STEVE NYERERE KUHUSU TETESI ZA KUWAGOMBANISHA WEMA NA MH.MBOWE.....

Image