CHRIS BROWN ASEMA HANA TATIZO NA ALIYECHUKUA EX WAKE...
King huyo wa pop breezy ambaye juzi kati aliyekuwa mpenzi wake karreache Tiran kuonekana na rappa toka kundi la migos "quavo". Leo breezy katika mtandao wake wa Instagram kasema hana beef wala tatizo na anayekula ex wake. Mchizi wake quavo. Hivyo aleeeeee tu.
Comments
Post a Comment