CHRIS BROWN ASEMA HANA TATIZO NA ALIYECHUKUA EX WAKE...


King huyo wa pop breezy ambaye juzi kati aliyekuwa mpenzi wake karreache Tiran kuonekana na rappa toka kundi la migos "quavo". Leo breezy katika mtandao wake wa Instagram kasema hana beef wala tatizo na anayekula ex wake. Mchizi wake quavo. Hivyo aleeeeee tu.

Comments

Popular posts from this blog

MFAHAMU MSANII MPYA WA WCB WASAFI.

HIVI NDIVYO GIGY MONEY ALIVYOMTOA MAPOVU WEMA SEPETU

Kondakita wa daladala atoa ushuhuda kuhusu tukio la lupigwa risasi mwanafunzi wa chuo cha NIT