MAPACHA WALIOUNGANA WAMEHITIMU KIDATO. CHA SITA WAOMBA HIKI
Mapacha hao waliozaliwa wakiwa wameungana kama uwaonavyo katika picha. Mkoani iringa. Wamehitimu kidato cha SITA. Na wametoa ombi kwa watu wote nchini kama kuna uwezekano wakawasaidia kifedha ili waanzishe ujasiliamali kwa ajili ya kujikimu.
Comments
Post a Comment