DOGO JANJA ASEMA DAVIDO HAJUI KUVAA. ATAJA WASANII BONGO WANAOMFATA...
Msanii dogo janja toka kundi la Tip Top connection ameongelea uvaaji wa msanii toka Nigeria Davido kuwa ni wa kishamba japokuwa anapesa. Hanunua nguo za Ku hit, zinazomfit fresh mwilini.
Aidha amesema kuwa. wasaniiI wengi Wa bongo pia hawawezi kushindana nae katika mavazi kwani wao husubili kutungua nguo kariakoo wakati yeye anaagiza zake toka mbele (nje)
Vile vile ametaja list kidogo ya wasanii wanaojitahidi kumfata japo so sana kuwa ni kama,
Jux (juma)
G nako
Comments
Post a Comment