TIDAL: Ally kiba ndio msanii bora Tanzania
Kufuatia tamasha linalofanyika nchini uingeleza lijumuishalo wasanii mbali mbali toka Afrika. #OneAfricafestLondon. Msanii Wa Tanzania ametajwa na mtandao umilikiwao na nguri Wa hip hop Jay z Wa Tidal kuwa ndiye msanii bora Tanzania. Kupitia mtandao huo wamepost picha ya king kiba na kuandika kuwa. Ally kiba is the best singet in Africa....
Comments
Post a Comment