Luis Suarez ataja wachezaji anaowakubari zaidi duniani
Mchezaji mashuhuri wa club ya Barcelona ya nchini Hispania na mzawa wa nchini Uruguay Luis Suarez jezi namba 9 mgongoni. Amefungua ukweli alionao juu ya wachezaji anaowakubari zaidi duniani kote.
Amewataja Neymar Jr na Messi kuwa bila wao kuwepo katika game LA mpila hajisikii vizuri. Na nzuri zaidi ni kukutana katika timu moja. Hiyo inamuongezea nguvu ya kuzidi kuwakubari zaidi.
Comments
Post a Comment