RAYVANY ATOA SIRI YA MAFANIKIO YAKE
Msanii Wa bongo fleva nchini Tanzania toka kundi la WCB Raymondy au rayvany ameelezea na kutaja mambo muhimu yaliyomfanya MPAKA amefika hapo alipo na MAFANIKIO aliyoyapata kuwa ni
1. Mungu
2. Nidhamu
3.juhudi
Bila kusahau sapot toka kwa mashabiki
Vitu hivyo ndivyo vimempelekea mpaka sasa ameteuliwa kuwania tuzo ya International viewers choice kutoka tuzo za BET2017
Comments
Post a Comment