WORLD WIDE BLOG; GET NEW AUDIOS, VIDEOS, PICTURES AS WELL AS NEWS ABOUT SUPER STARS AND FAMOUS PEOPLE HERE.
YOUR WELCOME.
DJ KHALID ATANGAZA UJIO WA PINI NA DRAKE.
Get link
Facebook
Twitter
Pinterest
Email
Other Apps
Msanii wa hip hop dj Khalid ameandika na kutangaza kwa ujio wa collabo kati yake na Drake. Pini hilo limepewa jina la TO THE MAX na cover itakuwa ina mtoto wake DJ.
Aidha song hilo limo ndani ya album yake ya GRATEFUL ambamo WASANII kama Beyonce, jay z, lil Wayne, rihana, Justin bearber na wengine kibao wamo.
Msanii ambaye ndiye boss wa kundi lenye label ya WCB Diamond Plutnumz Leo amemtambulisha msanii mpya aitwaye Lava lava. Utambulisho huo umeambatana na ngoma mpya (wimbo) alioutoa msanii Huyo uitwao TUACHANE. pichani ni wa kwanza toka kushoto. Aliyemshika bega Rayvany.
Juzi juzi ilikuwa Siku ya kuzaliwa ya muigizaji na aliyekuwa miss Tanzania 2006 wema mtoto Wa Mzee sepetu. Tangu alipoanza kufurahi Siku yake ya kuzaliwa ukumbini ghafla furaha ilipote baada ya mwanalimbwende muuza nyago katika video za wasanii mbalimbali nchini gigy money "gigy kiuno" kuonekana anacheza na baadhi ya zilipendwa wa wema tena kihasalahasala yaani kwa mitego mitego.
Kondakta Abbas Abdallah ambaye katika tukio hilo alijeruhiwa kwa risasi kichwani, alisema mwanafunzi huyo alipanda basi hilo kwenye kituo cha NIT Mabibo saa kumi na moja jioni. Alisema alipokuwa akiingia kwenye gari mwanafunzi huyo alikuwa akiongea kwa simu na hakukaa kwa sababu hakukuwa na kiti kilichokuwa wazi. “Daladala iliendelea na safari kama kawaida, tulipakia na kushusha abiria. Tulipofika kituo cha Magomeni Kanisani abiria walikuwa wamepungua, hivyo yule dada alikwenda kukaa siti ya mwisho
Comments
Post a Comment